Habari za Punde

Mwandishi wa Habari Muandamizi wa Zanzibar Leo Pemba Awaasa Wanafunzi Waliomaliza Mafunzo Yao ya Vitendo katika Gazeti la Zanzibar leo Pemba.


Msaidizi Mkuu wa Shirika la Magazeti ya Serikali Zanzibar, Zanzibarleo Ofisi ya Pemba, Haji Nassor Mohamed, akizungumza na wafanyakazi wa ofisi ya Pemba na wanafunzi waliomaliza mafunzo yao ya vitendo katika
ofisi hiyo katika hafla ya kuwaaga wanafunzi hao.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.