Msaidizi Mkuu wa Shirika la Magazeti ya Serikali Zanzibar, Zanzibarleo Ofisi ya Pemba, Haji Nassor Mohamed, akizungumza na wafanyakazi wa ofisi ya Pemba na wanafunzi waliomaliza mafunzo yao ya vitendo katika
ofisi hiyo katika hafla ya kuwaaga wanafunzi hao.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment