NAIBU waziri wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
Zanzibar, Mmanga Mjengo Mjawiri, akizungumza na Masheha, Walimu wakuu na
Wenyeviti wa kamati za skuli Wilaya ya Micheweni, huko katika skuli ya
Sekondari Micheweni.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
WALIMU wakuu na Wenyeviti wa kamati za skuli Wilaya
ya Micheweni Kisiwani Pemba, wakimsikiliza Naibu waziri wa Wizara ya Elimu na
Mafunzo ya Amali Zanzibar, wakati alipokuwa akizungumza na walimu hao.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment