Wananchi wakiangalia samaki aina ya Papa akitengenezwa katika Marikiti Kuu ya Darajani baada ya kufikishwa hapo kwa ajili ya kupigwa mnada kwa Wachuu, Samaki huyu amevuliwa katika bahari ya Kizimkazi Zanzibar.
TANZANIA NA ZAMBIA ZAKUBALIANA KUENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZA BIASHARA
-
Serikali za Tanzania na Zambia zimefanikiwa kufuta kero nne kati ya kero 15
zilizokuwepo awali ili kurahisisha michakato ya biashara ya nchi hizo
kutegemea...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment