Wananchi wakiangalia samaki aina ya Papa akitengenezwa katika Marikiti Kuu ya Darajani baada ya kufikishwa hapo kwa ajili ya kupigwa mnada kwa Wachuu, Samaki huyu amevuliwa katika bahari ya Kizimkazi Zanzibar.
SERA ZA WAHISANI HAZINA ATHARI ZA MOJA KWA MOJA ZA KIBAJETI
-
Na. Peter Haule, WF, Dodoma
SERIKALI imesema kuwa hakuna athari za moja kwa moja za kibajeti kutokana
na amri za kimamlaka alizotoa Rais wa Marekani, Dorn...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment