Wananchi wakiangalia samaki aina ya Papa akitengenezwa katika Marikiti Kuu ya Darajani baada ya kufikishwa hapo kwa ajili ya kupigwa mnada kwa Wachuu, Samaki huyu amevuliwa katika bahari ya Kizimkazi Zanzibar.
WANAJAMII MTWARA WAAPA KUPAMBANA NA NDOA ZA UTOTONI
-
Kivutio cha Mtwara
Na Mwandishi wetu, Mtwara
Wanajamii wilayani Mtwara vijijini wameahidi kuendelea na harakati za
kupambana na ndoa za utotoni ili kumko...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment