WASHIRIKI wa mafunzo ya siku tatu
juu ya kuwajengea uwezo watoa huduma za kisheria, kutoka serikalini na asasi za
kirai, mafunzo yalioandaliwa na wizara ya nchi afisi ya rais, katiba, sheria,
utumishi wa umma na utawala bora Pemba kupitia UNDP, mafunzo yaliofanyika
Makonyo Wawi Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WASHIRIKI wa mafunzo ya siku tatu
juu ya kuwajengea uwezo watoa huduma za kisheria, kutoka serikalini na asasi za
kirai, mafunzo yalioandaliwa na wizara ya nchi afisi ya rais, katiba, sheria,
utumishi wa umma na utawala bora Pemba kupitia UNDP, mafunzo yaliofanyika
Makonyo Wawi Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
AFISA Mdhamini Wizara ya Nchi Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma
na Utawala bora Pemba Massoud Ali Mohamed, akifungua mafunzo ya kuwajengea
uwezo watoa huduma za kisheria kisiwani humo, yaliofadhiliwa na UNDP, na kufanyika
kiwanda cha Makonyo Wawi Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MWANASHERIA kutoka Tanzania bara dk,
Cosmas akiwasilsha mada ya namna ya utoaji wa msaada wa kisheria kwa jamii,
kwenye mafunzo ya kuwajengea uwezo watoa huduma hizo, kwenye mafunzo
yaliofanyika kiwanda cha makonyo Wawi Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment