Mbunge wa Jimbo la Kiembe Samaki Zanzibar Mhe. Ibrahim Raza akisalimiana na wanafunzi wa Shule ya Kisauni alipofika kukabidhi madawati katika skuli hiyo na kuona changamoto zao.
Mwalimu wa Biology wa Shule ya Kisauni Muh’d Ali Muh’d akimueleza Mbunge wa Jimbo la Kiembe Samaki Mhe. Ibrahim Raza juu ya uhaba wa vifaa vya maabara katika skuli hiyo.
Mbunge wa Jimbo la Kiembe Samaki Mhe. Ibrahim Raza akimkabidhi msaada wa Madawati 80 Mwalim Mkuu wa Shule ya Kisauni Machalila Kulima Ndega kwajili ya shule hiyo.
Sehemu ya madawati 80 yaliyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Kiembe Samaki Mhe. Ibrahim Raza.
Mbunge wa Jimbo la Kiembe Samaki Mhe. Ibrahim Raza akizungumza na walimu na wanafunzi wa Skuli ya Kisauni baada ya kukabidhi madawati katika shule hiyo.
Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar.
No comments:
Post a Comment