Habari za Punde

Mbunge wa jimbo la Kiembesamaki akabidhi madawati 80 skuli ya Kisauni

 Mbunge wa Jimbo la Kiembe Samaki Zanzibar Mhe. Ibrahim Raza akisalimiana na wanafunzi wa Shule ya Kisauni alipofika kukabidhi madawati katika skuli hiyo na kuona changamoto zao.

 Mwalimu wa Biology wa Shule ya Kisauni Muh’d Ali Muh’d akimueleza Mbunge wa Jimbo la Kiembe Samaki Mhe. Ibrahim Raza juu ya uhaba wa vifaa vya maabara katika skuli hiyo.

 Mbunge wa Jimbo la Kiembe Samaki Mhe. Ibrahim Raza akimkabidhi msaada wa Madawati 80 Mwalim Mkuu wa Shule ya Kisauni Machalila Kulima Ndega kwajili ya shule hiyo.
 Sehemu ya madawati 80 yaliyotolewa na  Mbunge wa Jimbo la Kiembe Samaki Mhe. Ibrahim Raza.
Mbunge wa Jimbo la Kiembe Samaki Mhe. Ibrahim Raza akizungumza na walimu  na wanafunzi wa Skuli ya Kisauni baada ya kukabidhi madawati katika shule  hiyo.
Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.