Habari za Punde

Rais Dk Shein azungumuza na Uongozi wa Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo wakati wa kikao cha Mpango kazi wa mwaka 2016-2017   katika  utekelezaji wa  robo mwaka ya kwanza ya Julai-Septemba 2016 kilichofanyika leo  Ikulu Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 20/10 /2016.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo wakati wa kikao cha Mpango kazi wa mwaka 2016-2017   katika  utekelezaji wa  robo mwaka ya kwanza ya Julai-Septemba 2016 kilichofanyika leo  Ikulu Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 20/10 /2016.
 Viongozi katika Wizara ya  Viongozi katika Wizara ya  habari,Utalii,Utamaduni na Michezo  wakiwa katika  kikao siku moja cha Mpango kazi wa mwaka 2016-2017   katika  utekelezaji wa  robo mwaka ya kwanza ya  Julai-Septemba 2016 kilichofanyika leo Ikulu Mjini Unguja,chini ya mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,[Picha na Ikulu.] 20/10 /2016.
 Waziri wa Wizara ya  Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo Mhe,Rashid Ali Juma (katikati) akisoma taarifa ya  utekelezaji wa Mpango kazi wa mwaka 2016-2017 katika  kikao  cha robo mwaka ya kwanza ya  Julai-Septemba 2016 kilichofanyika leo   Ikulu Mjini Unguja,chini ya mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(hayupo pichani) (kulia) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee na Mshauri wa Waziri wa Habari Mhe,Abdalla Mwinyi Khamis,[Picha na Ikulu.] 20/10 /2016.


 Mkuu wa Chuo cha Uandishi wa Habari Nd,Chande Omar Omar akitoa ufafanuzi kuhusiana na Vipindi vya Redio na TV katika Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC)wakati wa kikao cha  utekelezaji wa Mpango kazi wa   mwaka 2016-2017 katika  robo mwaka ya kwanza ya  Julai-Septemba 2016 kilichofanyika leo  Ikulu Mjini Unguja,chini ya mwenyekiti wakeRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani),(kulia) Naibu Katibu Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo Dkt.Amina AmeirIssa,na (kushoto) Mkurugenzi wa Idara ya Sauti ya Tanzania Zanzibar Nd,Hassan Vuai, [Picha na Ikulu.] 20/10 /2016. 
Naibu katibu Mkuu Habari Nd,Hassan Mitawi   akitoa maelezo wakati  wa kikao cha utekelezaji wa Mpango kazi wa   mwaka 2016-2017 katika Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo  katika  robo mwaka ya kwanza ya  Julai-Septemba 2016, kilichofanyika leo  Ikulu Mjini Unguja,chini ya mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) na Katibu Mkuu Wizara hiyo Nd,Omar Hassan Omar (kushoto)[Picha na Ikulu.] 20/10 /2016.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.