ASKARI wa Usalama wa Barabarani kutoka kituo cha
Polisi Madungu Chake Chake, akikagua moja ya Vielelezo vya mwendesha Vespa
vinavyomruhusu kuendesha chombo barabarani, wakati wa ukaguzi uliofanywa na
jeshi hilo hivi karibuni Kisiwani Pemba.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAKILI MPANJU AWATAKA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII KAGERA KUSHIRIKIANA NA
WADAU KATIKA KULETA MAENDELEO
-
Na Silivia Amandius -Kagera RS
Naibu Katibu Mkuu kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na
Makundi Maalum, Wakili Amon Mpanju, amewata...
13 hours ago

No comments:
Post a Comment