Habari za Punde

Usalama Barabarani Pemba wafanya ukaguzi wa vyombo


ASKARI wa Usalama wa Barabarani kutoka kituo cha Polisi Madungu Chake Chake, akikagua moja ya Vielelezo vya mwendesha Vespa vinavyomruhusu kuendesha chombo barabarani, wakati wa ukaguzi uliofanywa na jeshi hilo hivi karibuni Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.