Afisa Mdhamini wa
Kamiseheni ya Utalii Kisiwani Pemba, Suleiman Amour Suleiman, akizungumza na
wajasiriamali mbali mbali kutoka Wilaya ya Micheweni, wakati walipotembelea
kujifunza kwa vitendo kilimo cha mboga mboga huko Weni Wilaya ya Wete, wakati
wa ziara yao ya Vitendo
Mkulima wa Mboga
Mboga kutoka Wilaya ya Wete, aliyejulikana kwa jina la Mohamed akiwaeleza jambo
wajasiriamali wa Wilaya ya Micheweni juu ya upandaji wa Kilimo cha Mitungule
kinachoendana na soko la kitalii, wakati walipofanya ziara ya kutembelea shamba
la Mboga mboga la mjasiriamali huyo
Mjasiriamali wa Kilimo cha Mboga mboga Weni Wilaya ya Wete,
aliyejulikana kwa jina la Mohamed akiwaonyesha wajasiriamali kutoka Wilaya ya
Micheweni, mbolea anazotumia katika kilimo chake hicho cha mboga mboga.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment