Watalii wanaotembelea Zanzibar wakiwa katika ufukwe wa pwani ya forodhani wakijiandaa kuelekea katika kisiwa cha changuu kwa ajili kutembelea kisiwa hicho kujionea historia ya kisiwa hicho. Zanzibar ikiwa na vivutio vingi vya Utalii.
Makamu wa Pili wa Rais Z'bar Atoa Wito wa Kuulinda Muungano
-
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla ametoa wito kwa
wananchi wa Tanzania kuendelea kuulinda Muungano.
Hayo ameyasem...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment