Watalii wanaotembelea Zanzibar wakiwa katika ufukwe wa pwani ya forodhani wakijiandaa kuelekea katika kisiwa cha changuu kwa ajili kutembelea kisiwa hicho kujionea historia ya kisiwa hicho. Zanzibar ikiwa na vivutio vingi vya Utalii.
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Malindi na JKU Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Maom Zedung Timu hizi Zimetoka Sare ya Bao 1-1
-
Wachezaji wa Timu ya JKU na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa
Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ,mchezo uliyofayika katika Uwanja wa Mao Zedung
Jijin...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment