Baadhi ya Wafanyabiashara bila ya kujua athari ya matumizi ya bidhaa hizo kama inavyoonekana pichani mfanyabiaashara huyu akiwa amechanganya bidhaa hizo kukiwa na dawa za sumu ya panya na dawa za misuwaki zikiwa pamoja hii inaweza kuleta athari kwa mnunuzi. Inahitajika kutowa elimu kwa wafanyabiashara wa bidhaa za athari kwa binadamu kuweza kuzitenga tafauti na bidhaa za vyakula.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment