Baadhi ya Wafanyabiashara bila ya kujua athari ya matumizi ya bidhaa hizo kama inavyoonekana pichani mfanyabiaashara huyu akiwa amechanganya bidhaa hizo kukiwa na dawa za sumu ya panya na dawa za misuwaki zikiwa pamoja hii inaweza kuleta athari kwa mnunuzi. Inahitajika kutowa elimu kwa wafanyabiashara wa bidhaa za athari kwa binadamu kuweza kuzitenga tafauti na bidhaa za vyakula.
Taasisi ya THE SAME QUALITY FOUNDATION wameendesha kambi ya matibabu ya
midomo wazi
-
Wizara ya afya Zanzibar kwa kushirikian na Taasisi ya THE SAME QUALITY
FOUNDATION wameendesha kambi ya matibabu ya midomo wazi katika hospitali
ya mk...
21 minutes ago
No comments:
Post a Comment