Habari za Punde

Mkutano wa siku moja kupitia sheria za uharibu wa mazao

 MWENYEKITI wa Tume ya Kurekebisha sheria Zanzibar, Jaji Mshibe Ali Bakari, akifungua mkutano wa siku moja wa kuzifanyia mapitio sheria za Uharibu wa mazao ya mwaka 1934 na ile ya usajili wa nyaraka ya mwaka 1919, mkutano uliofanyika ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Mkoani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MWANASHERIA kutoka Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar Mohamed Ali Ahmed, akiwasilisha marekebisho ya sheria ya usajili wa nyaraka ya mwaka ya 1919, kwenye mkutano uliofanyika ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Mkoani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

  WAKILI wa kujitegemea Pemba Zahran Mohamed Yussuf akichangia marekebisho ya sheria ya usajili wa nyaraka ya mwaka 1919, kwenye mkutano wa kuzifanyia mapitio sheria hiyo, uliofanyika Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Mkoani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

 WADAU wa sheria kutoka wilaya ya Wete Pemba, wakiwa kwenye mkutano wa mapitio ya sheria za usajili wa nyaraka ya mwaka na ile ya uharibifu wa mazao ya mwaka 1919, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MWANASHERIA kutoka Tume ya Kurekebisha sheria Zanzibar Nassor Tajo Ameir akiwasilisha mapitio ya sheria ya usajili wa nyaraka ya mwaka 1911, kwenye mkutano uliofanyika ukumbi wa Benjamin Mkapa Wete Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).     

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.