Habari za Punde

Umuhimu wa kuanzisha Shirika la Ndege la Zanzibar wagusiwa BLW

2 comments:

  1. Wanasema sasa hivi wao wanahangaikia maendeleo, jee hilo shirika si moja ya maendeleo ? Si watu watapata ajira? Au Nini maendeleo Kwa wakubwa wetu ? Ajinufaishe yeyé na aila yake ? Wengine tubaki tu na uchumi usio siha ? Mungu anakuoneni na sote tunaenda ardhini .....

    ReplyDelete
  2. hao mabwana zetu si washakataa kwani?, mana nilisikia lipo la Tanzania hakuna haja na Zanzibar kuanzisha lake

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.