Mariam Ibrahim aungana na wanawake wa Pwani kufanya usafi Jimbo la Kibaha
Vijijini
-
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba
18 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani katika zoezi la kufagia
viwa...
4 hours ago
Wanasema sasa hivi wao wanahangaikia maendeleo, jee hilo shirika si moja ya maendeleo ? Si watu watapata ajira? Au Nini maendeleo Kwa wakubwa wetu ? Ajinufaishe yeyé na aila yake ? Wengine tubaki tu na uchumi usio siha ? Mungu anakuoneni na sote tunaenda ardhini .....
ReplyDeletehao mabwana zetu si washakataa kwani?, mana nilisikia lipo la Tanzania hakuna haja na Zanzibar kuanzisha lake
ReplyDelete