Habari za Punde

Mkuu wa Wilaya ya Chakechake Azungumza na Uongozi wa Hospitali ya Chake.

Daktari Dhamana wa Hospitali ya Chake Chake, Ali Habibu Ali, akitowa maelezo ya kiutendaji katika Hospitali hiyo kwa mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Pemba, Salama Mbarouk Khatib, huko katika ukumbi wa Hospitali hiyo Pemba.
Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Pemba, Salama Mbarouk Khatib akizungumza na Kamati ya Uongozi ya Hospitali ya Chake Chake ,kujitambulisha na kukumbushana baadhi ya majukumu ya kiutendaji.
Kamati ya Uongozi ya Hospitali ya Chake Chake Pemba, wakiwa katika kikao cha pamoja baina yao na Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake.Bi.Salama Mbarouk Khatib, huko katika ukumbi wa Hospitali hiyo.(Picha na Bakari Mussa) 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.