Waziri wa Habari Utamaduni Michezi Mhe Nape Nnauye, akiwasili katika ukumbi wa mkutano mkuu wa TBN kwa ajili ya kufunga mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa jengo la Mfuko wa PSPF Dar es Salaam.
Waendeshaji wa mitandao ya kijamii (bloggers) wakipiga picha ya Selfie na Waziri
wa habari na Uenezi mara baada ya kufunga kongamano la mkutano mkuu wa mwaka wa
Tanzania Network (TBN) jijini Dar es Salaam leo
Serikali yageukia Viongozi wa Dini Mapambano dhidi ya Uhalifu
-
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akisalimiana na
Mkuu wa Kanisa Kuu la Kiinjili na Kilutheri(KKKT),Askofu Dkt.Alex Malasusa
wa...
2 minutes ago
No comments:
Post a Comment