Waziri wa Habari Utamaduni Michezi Mhe Nape Nnauye, akiwasili katika ukumbi wa mkutano mkuu wa TBN kwa ajili ya kufunga mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa jengo la Mfuko wa PSPF Dar es Salaam.
Waendeshaji wa mitandao ya kijamii (bloggers) wakipiga picha ya Selfie na Waziri
wa habari na Uenezi mara baada ya kufunga kongamano la mkutano mkuu wa mwaka wa
Tanzania Network (TBN) jijini Dar es Salaam leo
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment