Habari za Punde

WAZIRI wa Biashara Viwanda na Masoko azungumza na wanahabari baada ya kutembelea vikundi vya wajasiriamali kisiwani Pemba

 WAZIRI wa Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar Mhe:Balozi Amina Salim Ali, akiangalia aina maalumu za karafuu za Organic ambazo ziko tafauti na karafuu za kawaida, Organic huzwa pishi 17500 na karafuu za kawaida bei 14000, wakati alipotembelea vikundi vya wachumaji wa karafuu hizo huko Bagamoyo na Daya Mtambwe Wilaya ya Wete.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 WAZIRI wa Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar Mhe:Balozi Amina Salim Ali, akionyesha aina mbali mbali za Viungo vinavyolimwa na wajasiriamali wa Bagamoyo na Daya Mtambwe Wilaya ya Wete Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 WAZIRI wa Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar Mhe:Balozi Amina Salim Ali, akiwaonyesha waandishi wa habari bidhaa ya Vanilla, bidhaa ambayo ni ghali sana, huku ikiendelea kulimwa na kikundi cha Mataka Spices Kilichoko Mtambwe Wilaya ya Wete Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAZIRI wa Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar Mhe:Balozi Amina Salim Ali, akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali Pemba, mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku moja Kisiwani Pemba, juu ya kutembelea vikundi mbali mbali vya wajasiriamali Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.