Ijuwe Mitaa uliokuwa maarufu katika mji mkongwe wa Zanzibar ambo kwa sasa baadhi ya vizazi vya leo hawaijui mitaa hiyo kwa kupotea majina yake ya asili na kutotajwa kwa wakaazi wa maeneo hayo kama unavyoonekana mtaa huu uliokuwa maarufu enzi hizo na kuwa na duka la maziwa ya ngombe uliokuwa ukijulikana kwa jina la mtaa wa Mchamba wima jirani ya iliokuwa sinema ya Empire mkunazini kwa sasa huwezi kulisikia jina hili na majina mengine katika mitaa ya zanzibar.
WMA YAHAKIKI VIPIMO ASILIMIA 99 YA LENGO
-
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo, akiwasilisha hotuba
ya makadirio ya mapato na matumizi kwa Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha
2025/202...
32 minutes ago
No comments:
Post a Comment