Mwenyekiti wa Kamati wa Kongamano Bi Munira akisoma maadhimisho ya Kongamano la Siku Pili la Asasi za Kirais lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar na kushirikisha Viongozi wa Asasi za Kirai 150 wa Unguja na Pemba lililoandalia wa ZANSASP.
Meridianbet Yaungana na Diwani wa Kata Kufanya Usafi Africana
-
IKIWA ni Jumamosi nyingine ya kijanja, wakali wa ubashiri Meridianbet leo
hii wamefika Mbezi Africana pale Kituoni na kufanya zoezi la usafi. Lakini
pia l...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment