JENGO jipya la kituo cha Polisi Makangale Wilaya ya
Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba, lililofunguliwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya
Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara maalumu za SMZ Mhe:Haji Omar
Kheir, katika shemra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi, Kituo ambacho kimegharimu
zaidi ya Milioni 53 hadi kukamilika kwake.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
VIONGOZI mbali mbali wa Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar, wakiongozwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara
Maalumu za SMZ Mhe:Haji Omar Kheri, Viongozi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, wakiimba wimbo wa taifa wa Zanzibar, mara baada ya kukifungua
kituo cha Polisi Makangale ikiwa ni shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi ya
Zanzibar.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
ASKARI wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba,
wakiwa wamesimama kwa ukakamavu wakiimba wimbo wa Taifa wa Zanzibar, mara baada
ya kuzinduliwa kituo cha Polisi Makangale, ikiwa ni shamra shamra za miaka 53
ya mapinduzi matukufu ya zanzibar.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WANAFUNZI wa Skuli ya Makangale Salama Nassor na
Sharifa Juma, awakisoma Utenzi katika shamra shamra za Uzinduzi wa Kituo cha
Polisi Makangale, katika shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa,
Serikali za Mitaa na Idara Maalumu za SMZ, Mhe;Haji Omar Kheir, akizungumz ana
wananchi wa Makangale mara baada ya kukifungua kituo cha Polisi Makangale
katika shamra shamr za Miaka 53 ya Mapinduzi ya zanzibar.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WANAFUNZI mbali mbali wa skuli ya sekondari na
masingi makangale, wakimsikiliza kwa makini Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala
za Mikoa na idara Maalumu za SMZ, Mhe:Haji Omar Kheir, wakati alipokuwa
akizungumza na wananchi wa makangale katika shamra shamra za miaka 53 ya
Mapinduzi.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na
Idara Maalumu za SMZ, Mhe:Haji Omar Kheir, akikunjuwa kitambaa kuashiria
uzinduzi wa kituo cha Polisi Makangale, ikiwa ni shamra shamra za miaka 53 ya
Mapinduzi ya zanzibar.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara
Maalumu za SMZ, Mhe:Haji Omar Kheir, akikata utepe kuashiria ufunguzi wa kituo
cha Polisi Makangale, ikiwa ni shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi ya
zanzibar.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
MKUU wa Kituo cha Polisi Makanagle Ali Bakari Hamad
kushoto, akimpatia maelezo Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na
Idara Maalum za SMZ, Mhe:Haji Omar Kheir, mara baada ya kukizindua Rasmi kituo
cha Polisi Makangale katika shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na
Idara Maalumu za SMZ, Mhe:Haji Omar Kheir, akipanda mti mara baada ya
kukifungua wa kituo cha Polisi Makangale, ikiwa ni shamra shamra za miaka 53 ya
Mapinduzi ya zanzibar.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
KATIBU mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,
Mhe;Meja Jenerali Projesta Rugasira, akipanda mti mara baada ya ufunguzi wa
Kituo cha Polisi Makangale, katika shamra shamra za miaka 53 ya Mpainduzi ya
Zanzibar.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, Mhe;Omar Khamis
Othaman, akizungumza na wananchi wa makangale mara baada ya kuzinduliwa kwa
kituo cha Polisi kijijini hapo, ikiwa ni shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi
ya Zanzibar.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba, Haji
Khamis Haji, akizungumza na wananchi wa makangale mara baada ya kuzinduliwa kwa
kituo cha polisi kijijini hapo.(Picha na
Abdi Suleiman, PEMBA.)
KAMISHNA wa Polisi Zanzibar Hamdan Omar Makame,
akielezea mikakati ya Jeshi la Polisi Zanzibar, huko katika kijiji cha
Makangale mara baada ya kuzinduliwa kwa kituo cha Polisi, katika shamra shamra
za miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
KATIBU mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,
Mhe;Meja Jenerali Projesta Rugasira, akizungumza na wananchi wa makangale mara
baada ya kuzinduliwa kwa kituo cha polisi kijijini hapo, ikiwa ni shamra shamra
za miaka ya 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment