Kampuni inayosimamia uwekaji wa Camera za CCTV barabarani Zanzibar ili kudhibiti ajali za barabarani na kwa maderevya wanaotumia barabara hiyo kuwabaini wakati wanapofanya makosa hayo wakiwa katika maeneo ya barabara na kukimbia baada ya kufanya makosa. wakiwa katika zoezi hilo katika makutano ya barabara Kiembesamaki kwenda Fumba.
TFS Yawakaribisha Wawekezaji Katika Vivutio vya Utalii wa Misitu, Yaweka
Bayana Fursa Mpya za Kipekee
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha
WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umeeleza mikakati na fursa
mbalimbali za uwekezaji na utalii wa misitu, huku ukizi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment