Habari za Punde

Mradi wa Uwekaji wa Camera za CCTV Barabarani

Kampuni inayosimamia uwekaji wa Camera za CCTV barabarani Zanzibar ili kudhibiti ajali za barabarani na kwa maderevya wanaotumia barabara hiyo kuwabaini wakati wanapofanya makosa hayo wakiwa katika maeneo ya barabara na kukimbia baada ya kufanya makosa. wakiwa katika zoezi hilo katika makutano ya barabara Kiembesamaki kwenda Fumba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.