Barabara ya vuga kwenda shangani imetengwa kwa matumizi ya njia moja tu kwa ajili ya utunzaji wa Mji Mkongwe kupunguza msongamano wa magari ili kutowa fursa kwa matumizi ya mji huo lakini bado kuna baadhi ya matumiaji wa barabara hiyo wanakiuka sheria hiyo kama inavyoonekana gari ikitokea posta kuelekea vuga zikipisha katika eneo hilo. Njia hii imewekwa kwa ajili ya kwenda forodhani na kutokea eneo la malindi.
Chuo cha CATC kupata Majengo ya kisasa miaka mitatu ya Rais Samia madarakani
-
Mkuu wa Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC) Aristid Kanje amesema CATC
ni moja ya vyuo vinavyotoa kozi ya Usalama wa Usafiri wa Anga (ASTC) na ni
mo...
37 minutes ago
No comments:
Post a Comment