Habari za Punde

Barabara ya Mji Mkongwe Shangani Ilifungwa kwa Matumizi ya Njia Moja Tu Laki Baadhi ya Madereva Hutumia Barabara hiyo Kinyume na Mamlaka ya Hifadhi ya Mji Mkongwe.

Barabara ya vuga kwenda shangani imetengwa kwa matumizi ya njia moja tu kwa ajili ya utunzaji wa Mji Mkongwe kupunguza msongamano wa magari ili kutowa fursa kwa matumizi ya mji huo lakini bado kuna baadhi ya matumiaji wa barabara hiyo wanakiuka sheria hiyo kama inavyoonekana gari ikitokea posta kuelekea vuga zikipisha katika eneo hilo. Njia hii imewekwa kwa ajili ya kwenda forodhani na kutokea eneo la malindi.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.