Barabara ya vuga kwenda shangani imetengwa kwa matumizi ya njia moja tu kwa ajili ya utunzaji wa Mji Mkongwe kupunguza msongamano wa magari ili kutowa fursa kwa matumizi ya mji huo lakini bado kuna baadhi ya matumiaji wa barabara hiyo wanakiuka sheria hiyo kama inavyoonekana gari ikitokea posta kuelekea vuga zikipisha katika eneo hilo. Njia hii imewekwa kwa ajili ya kwenda forodhani na kutokea eneo la malindi.
DC LUDEWA AFANYA KISOMO KUMWOMBEA RAIS DKT. SAMIA
-
Na. Damian Kunambi, Njombe
Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva akiambatana na Mkurugenzi wa
Halamashauri, viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamo...
25 minutes ago
No comments:
Post a Comment