Habari za Punde

Madiwani Kisiwani Pemba Wapewa Elimu ya Utendaji wa Kazi Zao Kujua Sheria Mbalimbali.

Mkurugenzi Uratibu wa Tamisemi Zanzibar, Khalid Omar Abdulla, akifafanuwa jambo kuhusiana na mambo mbali yanayohusiana na kukasimu madaraka kwa Madiwani Zanzibar na mabadiloko yake huko katika mafunzo ya Madiwani wa Pemba Chake Chake -Kisiwani humo.
Ofisa Mwandamizi wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Zanzibar, Abrahaman Mnoga, akisisitiza jambo kwa madiwani kuhusiana na sheria mbali mbali za Tawala za mikoa Zanzibar na majukumu ya madiwani  huko katika Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kusini Pemba.
Madiwani Kisiwani Pemba, wakisikiliza kwa makini mafunzo wanayopatiwa juu ya kukasimu madaraka kutoka kwa maofis wa Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Zanzibar, katika hafla iliofanyika huko katika Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Kusini Pemba.
Madiwani Kisiwani Pemba, wakisikiliza kwa makini mafunzo wanayopatiwa juu ya kukasimu madaraka kutoka kwa maofis wa Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Zanzibar, katika hafla iliofanyika huko katika Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Kusini Pemba.
Picha na Bakari Mussa Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.