Wadau Mna Kumbukumbu ya matumizi ya gari hizi zilizokuwa zikitumika katika Visiwa vya Zanzibar katika miaka gani na aina ya gari hizi zilikuwa maarufu kwa usafiri wa TAXI katika manispa na Vitongoji Vyake Kazi kwenu.
ZAHARA MICHUZI, ALIYEKUWA DED MEATU, IFAKARA NA GEITA AJITOSA MBIO ZA
UBUNGE VITI MAALUM UWT TABORA
-
Zahara Michuzi, mmoja wa watumishi wa umma waliopitia majukumu makubwa
serikalini kwa miaka kadhaa, amejiunga rasmi katika kinyang’anyiro cha
ubunge w...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment