Habari za Punde

Matukio Mitaani Kisiwani Pemba.

Wananchi wa Mji wa Wete, wakifuatilia kwa makini vichwa vya habari kutoka katika magazeti mbali mbali yanayofika Kisiwani Pemba, kama walivyokutwa katika duka lia kuuzia magazeti Wete
KUKOSEKANA kwa maeneo maalumu ya kuuzia biashara za nguo za mitumba katika maeneo ya Wete, pichani wafanya biashara wa nguo hizo wakifanya biashara katika maeneo yasiyokuwa rasmi katika mtaa wa Muembe Kigongo Wete
MITI ya aina mbali mbali iliyoatikwa na wanakaya masikini shehia ya Fundo, ikiwa na lengo la kurudisha haiba ya miti mikubwa iliyotoweka Kisiwani Pemba.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.