Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika mahojiano
maalumu na Mkurugenzi Idara ya Habari (MAELEZO) Dkt. Hassan Abbasi kuhusu
masuala ya Muungano kwa ujumla kuelekea maadhimisho ya Miaka 53 ya
Muungano.
Mkurugenzi Idara ya Habari (MAELEZO) Dkt. Hassan Abbasi akimkabidhi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
Jarida la Nchi yetu linalotolewa na Idara ya Habari ( MAELEZO). Jarida
hilo liliandaliwa kwa ajili ya maadhimisho ya Miaka 55 ya Uhuru wa Tanganyika.
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) katika
picha ya pamoja na watumishi wa Idara ya Habari (MAELEZO) mara baada ya
mahojiano maalumu kuelekea Maadhimisho ya Miaka 53 ya Muungano( kutoka kushoto
ni Beatrice Lyimo, Dkt. Hassan Abbasi, Jonas Kamaleki na Hassan Silayo.
(Picha na Mpiga Picha Wetu)
No comments:
Post a Comment