Kikosi cha Timu ya Ikulu Sport Club Dar es Salaam kilichokubali kipigo cha mabao 8 - 0 wakati wa michezo ya Tamasha la Pasaka katika viwanja vya Amaan Zanzibar kwa kufungwa na Ikulu Sport Club Zanzibar.
Kikosi cha Timu ya Ikulu Sport Club Zanzibar kilichotoka kifua mbele wakati wa mchezo wao wa Tamasha la Pasaka na marafiki zake Timu ya Ikulu Sport Club Dar es Salaam kwa kuichapa mabao 8 -- 0 na kuchukuwa Kikombe Maalum cha mchezo huo wa Tamasha la Pasaka kwa mwaka huu lililofanyika Zanzibar katika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
No comments:
Post a Comment