BIASHARA ya Minazi katika kipindi hiki cha Mvua
zinazoendelea Kisiwani Pemba, imekuwa maradufu ambapo mche mmoja huuzwa kati ya
2,500/= hadi shilingi 3,000/=, pichani gari aina ya keri ikiwa imepakia miche
hiyo katika soko la Matunda Chake Chake.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN,PEMBA).
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment