MKUU wa Wilaya ya Mkoani Mhe:Hemed Suleiman
Abdalla, akimpatia mtoto mchanga chanjo katika hospitali ya Mama wajawazito na
watoto Gombani, katika uzinduzi wa Chanjo kwa watoto ya kitaifa kwa bara la
Africa kila ifikapo Aprili 24 ya kila mwaka.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN,PEMBA).
PPRA Yawahimiza Watanzania Kujisajili NEST Kushiriki Zabuni za Serikali
-
Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) imewataka Watanzania
kujisajili katika mfumo wa manunuzi wa kielektroniki wa NEST ili waweze
kunufaika na fu...
58 minutes ago
No comments:
Post a Comment