Habari za Punde

Mvua za Masika Zikiendelea Kunyesha Katika Maeneo Mbalimbali Kisiwani Pemba.


MOJA ya nyumba za kijiji cha Mwambe wilaya ya Mkoani inayoendelea kuathirika kutokana na mvua, kwa kupitiwa na maji, jambo linalosababisha wakaazi wa nyumba hiyo kuhama na mwengine kubakia nje wakati mvua ikinyesha, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.