Habari za Punde

Mvua za Masika Zikiendelea katika mitaa ya Zenj

 Mvua za masiki zinazoendelea kunyesha katika maeneo ya mji wa unguja baadhi ya maeneo imesababisha kuanguka kwa miti kama unavyoonekana muembe huu ulianguka katika barabara ya maruhubi na kuzuiya njia hiyo kupitika kwa Muda hadi ulipokatwa na kurejesha huduma hiyo
Go


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.