Mvua za masiki zinazoendelea kunyesha katika maeneo ya mji wa unguja baadhi ya maeneo imesababisha kuanguka kwa miti kama unavyoonekana muembe huu ulianguka katika barabara ya maruhubi na kuzuiya njia hiyo kupitika kwa Muda hadi ulipokatwa na kurejesha huduma hiyo
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia
wananchi wa majimbo ya Ilala, Segerea, Kivule na Ukonga katika uwanja wa
Kecha Kinyerezi Jijini Dar es Salaam
-
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza ...
13 hours ago
No comments:
Post a Comment