Mvua za masiki zinazoendelea kunyesha katika maeneo ya mji wa unguja baadhi ya maeneo imesababisha kuanguka kwa miti kama unavyoonekana muembe huu ulianguka katika barabara ya maruhubi na kuzuiya njia hiyo kupitika kwa Muda hadi ulipokatwa na kurejesha huduma hiyo
UDOM Yabuni Mashine ya Kisasa ya Kuuza Vinywaji Baridi Inayojiendesha
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kupitia Ndaki ya Sayansi za Kompyuta na Elimu
Angavu, kimebuni mashine ya kisasa ya kuuza ...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment