TANCDA Yatoa Wito wa Mabadiliko ya Maisha; Yazindua Mpango wa Kidijitali wa
Smart Health Journey
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MUUNGANO wa Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza Tanzania (TANCDA) umetoa wito wa
mabadiliko ya haraka ya mitindo ya maisha mi...
1 hour ago
Alichokisema Mzee Mkapa ndio ukweli wa mambo kuhusiana na vyombo vyetu vya habari. Ni vyombo ambavyo, nadhani vimekaa kiumbeumbea hivi na nadhani walishafanya utafiti kwamba Watanzania ni wavivu wa kusoma makala za habari za maendeleo na kwamba hushabikia makala za umbeaumbea na kwa kuwa wako kibiashara zaidi, basi huandika umbea ule utakaouza magazeti yao.
ReplyDeleteTujitafakari!
Tujitafakari!