REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
8 hours ago
Alichokisema Mzee Mkapa ndio ukweli wa mambo kuhusiana na vyombo vyetu vya habari. Ni vyombo ambavyo, nadhani vimekaa kiumbeumbea hivi na nadhani walishafanya utafiti kwamba Watanzania ni wavivu wa kusoma makala za habari za maendeleo na kwamba hushabikia makala za umbeaumbea na kwa kuwa wako kibiashara zaidi, basi huandika umbea ule utakaouza magazeti yao.
ReplyDeleteTujitafakari!
Tujitafakari!