Biashara : Benki ya NBC ‘Yawanoa’ Wataalam Teknolojia ya Huduma za Fedha
ili Kuchochea Uchumi Jumuishi.
-
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeendesha semina maalum kwa ajili ya
wadau wa Umoja wa Makampuni yanayotoa Huduma za Kifedha kupitia Teknolojia
Tanzan...
4 minutes ago
Alichokisema Mzee Mkapa ndio ukweli wa mambo kuhusiana na vyombo vyetu vya habari. Ni vyombo ambavyo, nadhani vimekaa kiumbeumbea hivi na nadhani walishafanya utafiti kwamba Watanzania ni wavivu wa kusoma makala za habari za maendeleo na kwamba hushabikia makala za umbeaumbea na kwa kuwa wako kibiashara zaidi, basi huandika umbea ule utakaouza magazeti yao.
ReplyDeleteTujitafakari!
Tujitafakari!