Habari za Punde

Wafanyakazi Ofisi ya Rais Pemba Wampongeza Rais wa Zanzibar Dk Shein,


Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Pemba, wakiwa katika kikao cha pamoja cha kubadilishana mawazo na kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt, Ali Moh'd Shein, kwa kutekeleza hadi zake kwa vitendo hususan ya kuongeza mishahara kwa Wafanyakazi wa  Serikali.
(Picha na Ofisi ya Rais Pemba.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.