Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wawa Dau wa Tansnia ya Korosho Nchini ambao umefunguliwa na Waziri Mkuu May 13, 2017 katika Ukumbi wa Chuo cha Mipango Mkoani Dododma
Wadau wa Tasnia ya Korosho wakimsikilza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wawa Dau wa Tansnia ya Korosho Nchini ambao umefunguliwa na Waziri Mkuu May 13, 2017 katika Ukumbi wa Chuo cha Mipango Mkoani Dododma
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Bodi ya Korosho , Mama Anna Abdala baada ya Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wawa Dau wa Tansnia ya Korosho Nchini katikati ni Waziri wa Kilimo ,Mifugo na Uvuvi Dr Chales Chizeba , Waziri Kuu amefungua Mkutano huo May 13, 2017 katika Ukumbi wa Chuo cha Mipango Mkoani Dododma
(PICHA NA OWM)
No comments:
Post a Comment