Kifaa kinachotumika na Jeshi la Zimamoto na
Uokoaji kuzima moto,kuokolea watu na
mali kwenye majengo marefu, kikisaidia uokoaji
katika jengo lililopo Mtaa wa Indira Ghandhi,jijini
Dar es Salaam, baada ya kushika moto ambao ulifanikiwa kuzimwa na askari wa
jeshi hilo kabla haujaleta madhara.Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana
Jengo la ghorofa 12 lililopo Mtaa wa Indira
Ghandhi lililoshika moto na kufanikiwa kuzimwa na askari wa Jeshi la Zimamoto
na Uokoaji,leo jijini Dar es Salaam.
Askari
wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, wakijiandaa
kupokea waathirika wa janga la moto katika shughuli za uzimaji moto baada ya jengo
lililopo Mtaa wa Indira Ghandhi,jijini Dar es Salaam,kushika moto ambao
ulifanikiwa kuzimwa na askari wa jeshi hilo kabla haujaleta madhara.Chanzo cha
moto huo bado hakijajulikana.
Watanzania wenye asili ya kihindi wakiwa kwenye
kifaa kinachotumika na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, baada ya jengo lililopo
Mtaa wa Indira Ghandhi,jijini Dar es Salaam, kushika moto ambao ulifanikiwa
kuzimwa na askari wa jeshi hilo kabla haujaleta madhara.Chanzo cha moto huo
bado hakijajulikana
Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, wakiwa katika
shughuli za uzimaji moto baada ya jengo lililopo Mtaa wa Indira Ghandhi,jijini
Dar es Salaam,kushika moto ambao ulifanikiwa kuzimwa na askari wa jeshi hilo
kabla haujaleta madhara.Chanzo cha moto huo bado hakijajulikanaPicha na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji
No comments:
Post a Comment