Mambo ya kachu katika ufukwe wa bahari ya forodhani Zanzibar vijana wengi hutumia ufukwe huo kwa kuogelea tangu enzi hizo eneo hilo taimu ya jioni hujaa vijana kwa watoto kwa kuogelea wakati maji yakijaa. Kama anavyoonekana kijana huyu akiruka maji kwa staili ya kachu.
MARRY CHATANDA :SERIKALI CHINI YA DK SAMIA IMEITEKELEZA VEMA ILANI 2020-2025
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MRATIBU wa Uchaguzi Mkuu Mkoa wa Dar es Salaam Marry Chatanda amesema
Serikali inayoongozwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan i...
14 hours ago

No comments:
Post a Comment