Mambo ya kachu katika ufukwe wa bahari ya forodhani Zanzibar vijana wengi hutumia ufukwe huo kwa kuogelea tangu enzi hizo eneo hilo taimu ya jioni hujaa vijana kwa watoto kwa kuogelea wakati maji yakijaa. Kama anavyoonekana kijana huyu akiruka maji kwa staili ya kachu.
Ziara ya Waziri wa Ujenzi Mawasiliani na Usafirishaji Mhe. Sira Afanya Ziara Kutembelea Idara za Wizara Hiyo leo.
-
WaziriwaUjenzi,MawaslianonaUsafirishaji Dk.SiraUbwaMwamboyaakishukaBotiba
adayakumalizaziarayakeyakukaguaMnarawakuongozeaMeli.
katikaziarahiyoWazirialijiri...
3 minutes ago
No comments:
Post a Comment