Meli ya kampuni ya Azam Marine ikiwa katika bandari ya Forodhani Zanzibar ikiwa katika kupakia mizigo kuanza safari zake za Pemba na Tanga inatowa huduma ya usafiri kwa wananchi wa maeneo hayo na kupunguza kero ya usafiri kwa pande mbili hizo kuwa na usafiri wa uhakika.
MAGAZETI YA LEO JUMATANO APRIL 25, 2018
-
Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye
hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo
lolote. Wasil...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment