Meli ya kampuni ya Azam Marine ikiwa katika bandari ya Forodhani Zanzibar ikiwa katika kupakia mizigo kuanza safari zake za Pemba na Tanga inatowa huduma ya usafiri kwa wananchi wa maeneo hayo na kupunguza kero ya usafiri kwa pande mbili hizo kuwa na usafiri wa uhakika.
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment