Meli ya kampuni ya Azam Marine ikiwa katika bandari ya Forodhani Zanzibar ikiwa katika kupakia mizigo kuanza safari zake za Pemba na Tanga inatowa huduma ya usafiri kwa wananchi wa maeneo hayo na kupunguza kero ya usafiri kwa pande mbili hizo kuwa na usafiri wa uhakika.
Watia Nia Nafasi za Ubunge na Uwakilishi Kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Wachukua Fomu za Kugombea Nafasi Hizo
-
KATIBU wa CCM Wilaya ya Mfenesini, Veronica Ndaro, akimkabidhi Mihayo Juma
Nhunga, fomu ya kuwania uwakilishi wa jimbo la Mwera.
KATIBU wa CCM Wilaya ya M...
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment