Mfanyabiashara ya mayai kisiwani Unguja akiwa katika harakati za kupanga mayai kwa ajili ya wateja wake,bidhaa ya mayai katika kipindi hichi cha maandalizi ya sikukuu hutumika sana kwa maandalizi ya mahanjumati kusherehekea sikukuu baada ya mfungo treya moja inauzwa kati ya shilingi 9500/= na 11,000/=.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment