Mfanyabiashara ya mayai kisiwani Unguja akiwa katika harakati za kupanga mayai kwa ajili ya wateja wake,bidhaa ya mayai katika kipindi hichi cha maandalizi ya sikukuu hutumika sana kwa maandalizi ya mahanjumati kusherehekea sikukuu baada ya mfungo treya moja inauzwa kati ya shilingi 9500/= na 11,000/=.
Wizara ya Afya Zanzibar Itaendesha Zoezi la Chanjo ya Shingo la Kizazi
-
Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar Dkt. Fatma Kabole akizungumza na
waandishi wa Habari kuhusiana na zoezi la chanjo ya kuzuia saratani ya
mlango...
5 minutes ago
No comments:
Post a Comment