Habari za Punde

Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Amuapisha Afisa Tawala wa Wilaya ya Mkoani Pemba.

Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe. Mwanajuma Majid akimuapisha Katibu Tawala Mpya wa Wilaya ya Mkoani Pemba, Bi.Miza Hassan Faki, iliofanyika ofisi ya Mkuu wa mkoa wa kusini Pemba.
Katibu Tawala Mpya wa Wilaya ya Mkoani Bi. Miza Hassan Faki, akisaini hati yake ya kiapo baada ya kuapishwa na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe Mwanajuma Majid hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba.
KATIBU Tawala Mkoa wa kusini Pemba Yussuf Mohamed Ali, akizungumza kwenye hafla ya kuapishwa kwa Katibu tawala mpya wa wilaya ya Mkoani Miza Hassan Faki, hafla iliofanyika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba
BAADHI ya masheha, wakuu wa taasisi za serikali Mkoa wa kusini Pemba, wakifuatilia hafla ya kuapishwa kwa Katibu tawala mpya wa wilaya ya Mkoani  Miza Hassan Faki, iliofanyika ofisi ya Mkuu wa mkoa wa kusini Pemba.
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe.Mwanajuma Majid Abdalla, Katibu tawala wake Yussuf Mohamed Ali, Wakuu wa Wilaya za Chakechake na  Makoani na Katibu Tawala mpya wa Wilaya ya Mkoani, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza hafla hiyo.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.