Habari za Punde

Siku ya Wakimbizi Duniani.Serikali Kuendelea Kusaidia Wakimbizi.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Ramadhani Mwinyi, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa Siku ya Maadhimisho ya Wakimbizi Duniani iliyofanyika katika ukumbi wa Little Theatre,  jijini Dar esSalaam
MratibuwaMashirikayaUmojawaMataifa (UN) nchini Tanzania, Alvaro Rodriguez,akizungumzawakatiwaSikuyaMaadhimishoyaWakimbiziDunianiiliyofanyikakatikaukumbiwa Little Theatre jijini Dar es Salaam
 WasaniiambaoniwakimbiziwaliokokatikakambiyaNyarugusumkoaniKigoma, wakiburudishawageniwaliohudhuriaSikuyaMaadhimishoyaWakimbiziDunianiiliyofanyikakatikaukumbiwa Little Theatre jijini Dar es Salaam
WasaniiambaoniwakimbiziwaliokokatikakambiyaNyarugusumkoaniKigoma, wakiburudishawageniwaliohudhuriaSikuyaMaadhimishoyaWakimbiziDunianiiliyofanyikakatikaukumbiwa Little Theatre jijini Dar es Salaam
Wasaniiwakundi la Mpoto Theatre, wakiigizaigizokatikaSikuyaMaadhimishoyaWakimibiziDuniani,igizohilolilihusumauajiyanayotokeanchimbalimbalizilizokokwenye vita  ambapohupelekeawananchi wake kukimbilianchinyinginenakuombahifadhiyaukimbizi.Maadhimishohayoyamefanyikakatikaukumbiwa Little Theatre, jijini Dar es Salaam


Na AbubakariAkida
NaibuKatibuMkuuWizaraya Mambo yaNjenaUshirikianowaAfrikaMashariki, BaloziRamadhaniMwinyi,amesemaSerikaliitaendeleakutoahudumakwawakimbiziikishirikiananamashirikambalimbaliyandaninanjeyanchi,hukuakiziombanchizenyemachafukokukaanakutatuachangamotozinazopelekeawatukukimbianchizao.
AkizungumzawakatiwakuadhimishaSikuyaWakimbiziDuniani,iliyofanyikakatikaukumbiwa Little Theatre jijini Dar es Salaam BaloziMwinyialisemaSerikaliya Tanzania imekuwaikisaidiamasualayawakimbizikutokaawamuya kwanza yaMuasisiwaTaifanaRaiswa Kwanza,Mwalimu Julius Nyerere,ikiwepokuwapahudumazaafyanaelimuiliwawezekutimizandotozaowalizokuwanazokablayakuzikimbianchizaonakwambaikiwaleotunaadhimishasikuyawakimbizidunianilazimawotetudhamiriekumalizatatizohili.
“Tuungenguvuyapamojakuhakikishatunamalizamigogorokupitianjiayamazungumzoilituwezekumalizatatizo la wakimbiziduniani, natushirikiane nan chi zinazohifadhiwakimbizi, mashirikayakimataifatukijuajukumu la kutatuachangamotohiiniletu,”alisemaBaloziMwinyi
Akizungumzakwenyemaadhimishohayo, MratibuwaMashirikayaUmojawaMataifa (UN) nchini Tanzania, Alvaro Rodriguez, alisemaUmojawaMataifakupitiaShirika la UmojawaMataifa la  KuhudumiaWakimbiziDuniani(UNHCR) limekujanamkakatimaalumuwakuwahudumiawakimbizi nan chi zinazohifadhiwakimbizi(CRRF),lengoikiwanikukabiliananachangamotozakimaendeleozinazowakabiliwakimbizikatikamakambimbalimbali.
NayeMwakilishiwa UNHCR Tanzania,ChansaKapayaalisemashirika lake litaendeleakushirikiananaSerikaliya Tanzania katikakuhakikishawakimbiziwanaendeleakupokeamisaadamuhimuyakibinadamu,katikamazingiraambayoyanawaruhusukuishikwausalamanahadhi.

Tarehe20 mweziJuniduniainaazimishaSikuyaWakimbiziDunianihukuikikadiriwakilabaadayasekundeishirinimtummojahukimbianchiyakenakuachafamilia, nyumbanamaliakikimbiamachafuko, migogoronaainambalimbalizauhalifukwabinadamunakundilinaloathirikazaidiniwatotowadogowanaokadiriwakuwawengikatikaidadiyajumlaya65.6milioni yawakimbiziduniani.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.