Mfanyakazi wa Idara yaUtunzaji Barabara akiwa katika harakati ya ukarabati wa barabara ya darajani Unguja baada ya kuathirika na mvua za masika zilizokuwa zikinyesha mwezi uliopiti na kusababisha uharibifu wa miundombinu hiyo ya barabara kuharibika kwa kiasi kikubwa.
TFS WACHANGIA MIL.20 KWA WENYE MAAFA KIBITI NARUFIJI
-
Na Khadija Kalili ,Michuzi Tv
MKUU wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakari Kunenge leo amepokea hundi yenye
thamani ya Mil.20 kutoka Wakala wa Misitu Tanzania (T...
19 minutes ago
No comments:
Post a Comment