Mfanyakazi wa Idara yaUtunzaji Barabara akiwa katika harakati ya ukarabati wa barabara ya darajani Unguja baada ya kuathirika na mvua za masika zilizokuwa zikinyesha mwezi uliopiti na kusababisha uharibifu wa miundombinu hiyo ya barabara kuharibika kwa kiasi kikubwa.
UMUHIMU WA MALEZI BORA KWA WATOTO
-
Sajenti Emmanuel Kisiri ambae ni polisi kata wa kata ya Ikoma Wilaya ya
Serengeti Mkoani Mara ameendelea kuihimiza jamii kulinda maadili ya watoto
Akiendel...
13 minutes ago
No comments:
Post a Comment