Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Rais mstaafu wa awamu ya Tatu
Benjamin William Mkapa Chato mkoani Geita. Rais Mstaafu Mkapa katika siku ya
kesho anatarajiwa kukabidhi nyumba 50 za watumishi wa sekta ya Afya
zilizojengwa na Taasisi ya (Mkapa Foundation) katika mikoa ya Simiyu, Kagera na
Geita.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Rais mstaafu wa awamu ya Tatu
Benjamin William Mkapa Chato mkoani Geita. Rais Mstaafu Mkapa katika siku ya
kesho anatarajiwa kukabidhi nyumba 50 za watumishi wa sekta ya Afya
zilizojengwa na Taasisi ya (Mkapa Foundation) katika mikoa ya Simiyu, Kagera na
Geita.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi wa Japan hapa nchini
Masaharu Yoshida mara baada ya kuwasili Chato mkoani Geita. Balozi huyo wa
Japan katika siku ya kesho anatarajiwa kukabidhi mtambo wa kukamua Mafuta ya
Alizeti (Double Refine) uliojengwa Chato mkoani Geita kwa Msaada wa Serikali ya
Japan.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Rais
mstaafu wa awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa Chato mkoani Geita.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na
Rais mstaafu wa awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa Chato mkoani Geita.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Rais
mstaafu wa awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa pamoja na wageni mbalimbali
waliofika Chato kwa ajili ya shughuli mbalimbali za kimaendeleo zinazotarajiwa
kufanyika kesho.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani Geita Josheph Kasheku Msukuma aliyefika
Chato pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Geita.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment