TPC yashinda tuzo ya taasisi za kutoa huduma. Shirika la Posta Tanzania (TPC) limeshinda tunzo ya maonyesho ya Sabasaba kwa taasisi za kutoa huduma. Tunzo hiyo alibabidhiwa Mkurugenzi Mtendaji wa TPC Deo Kwiyukwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano Dr. John Pombe Magufuli kwenye viwanja vya maonyesho ya Sabasaba.Picha na Othman Michuzi Media Group
TANZANIA NA ZAMBIA ZAKUBALIANA KUENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZA BIASHARA
-
Serikali za Tanzania na Zambia zimefanikiwa kufuta kero nne kati ya kero 15
zilizokuwepo awali ili kurahisisha michakato ya biashara ya nchi hizo
kutegemea...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment