Afisa Mipango na Sera Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Pemba, Ramla Abass Farhan akikata
utepe kuashiria ufunguzi wa Maktaba ya Watoto, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya maktaba hiyo iliyo mjini Chake chake Pemba.
Wanafunzi wa Skuli ya Msingi Madungu Chakechake Fatma
Massoud na Hulaith Amour, wakisoma utenzi wakati wa hafla ya uzinduzi wa Maktaba ya Watoto Kisiwani Pemba katika eneo la Madungu Pemba.
WANAFUNZI wa Skuli za
Madungu na Michakeni Msingi, wakisoma herufi za A B C hadi Z kwa kutumia Wimbo
maalumu, wakati wa ufunguzi wa Maktaba ya Watoto Mjini Chake Chake
WANAFUNZI wa Skuli ya
Madungu na Michakaeni msingi, wakionyesha umahiri wa kusoma hadithi kupitia
Vitabu, wakati wa Ufunguzi wa Maktaba ya watoto mjini Chake Chake
WANAFUNZI wa Skuli za Madungu msingi na Michakeni wakionyesha
umahiri wa kuimba wimbo na mchezo wakati wa ufunguzi wa Maktaba ya watoto mjini
Chake Chake.
WANAFUNZI wa Skuli za Madungu msingi na Michakeni wakionyesha
umahiri wa kuimba wimbo na mchezo wakati wa ufunguzi wa Maktaba ya watoto mjini
Chake Chake.
AFISA mipango na sera
kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Pemba, Ramla Abass Farhan
akizungumza na wafanyakaiz wa Maktaba kuu ya Pemba, wanafunzi na wazazi, wakati
wa ufunguzi wa maktaba ya watoto Chake Chake Pemba.
MKUTUBI Mkuu wa Maktaba kuu ya Pemba, Mwacha Mohd Bakari akizungumza wakati wa ufunguzi wa maktaba ya watoto Mjini Chake Chake.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment