Wananchi wa eneo la Jangome Unguja wakivunja nyumba zao baada ya taratibu za malipo ya majengo yao kukamilika ili kupisha Mradi wa Ujenzi wa Mtaro wa Maji Machafu unaotokea eneo la Jangombe linalojaa maji na kufurika wakati wa mvua za masika kikinyesha katika msimu wake na wananchi wa maeneo hayo kuhama makazi yao.
Usalama wa Waandishi wa Habari Kipaumbele Kikuu cha CoRI
-
UMOJA wa Haki ya Kupata Taarifa (CoRI) umekutana ilikujadili mambo matatu
muhimu ikiwemo kusaini makubaliano yatakayosaidia umoja huo ikiwa ni
kuelekea...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment