Wananchi wa eneo la Jangome Unguja wakivunja nyumba zao baada ya taratibu za malipo ya majengo yao kukamilika ili kupisha Mradi wa Ujenzi wa Mtaro wa Maji Machafu unaotokea eneo la Jangombe linalojaa maji na kufurika wakati wa mvua za masika kikinyesha katika msimu wake na wananchi wa maeneo hayo kuhama makazi yao.
Vodacom yazindua simujanja maalumu itakayosaidia wateja wenye ulemavu
-
Balozi wa Pakistani nchini Siraj Ahmad Khan (kushoto), Mkurugenzi wa
Biashara wa Vodacom Tanzania, Linda Riwa (katikati) na Afisa Mtendaji Mkuu
wa kampun...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment