Habari za Punde

Wanawake Wanye Ulemavu Pemba Wapata Mafunzo ya Elimu ya Haki za Binaadamu.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake Wenye Ulemavu Zanzibar,Bi.Salma Haji Saadati akizungumza na wanawake wenye Ulemavu Kisiwani Pemba, katika mafunzo ya siku mbili kwa wanawake hao huko katika ukumbi wa madungu maandalizi Chake Chake Pemba

Wabawake wa Jumuiya  Watu Wenye Ulemavu  Kisiwani Pemba wakifuatilia semina ya mafunzo ya haki za binadamu, huko katika skuli ya madungu maandalizi Chake Chake Pemba.
(PICHA NA HABIBA
ZARALI, PEMBA)

1 comment:

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.