Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli pamoja na mke wake
Mama Janeth Magufuli wakitoa sadaka wakati wa ibada ya jumapili katika kanisa la
Katolikila
Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita.Leo 16 julai 2017
Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John
Pombe Joseph Magufuli wakisikiliza mahubiri kutoka kwa Padri Henry Mulinganisa wakati wa ibada ya jumapili katika kanisa
la Katoliki la
Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita.Leo
Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe
Joseph Magufuli akisisitiza jambo wakati wa ibada ya jumapili katika kanisa la
Katoliki la
Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita
Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe
Joseph Magufuli akisisitiza jambo wakati wa ibada ya jumapili katika kanisa la
Katoliki la
Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita
Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John
Pombe Joseph Magufuli aliyeshika kikapu cha sadaka akipokea sadaka kutoka kwa Mke wake
Bi Janeth Magufuli wakati wa kuchangia ujenzi na upanuzi wa katika kanisa la
Katoliki la
Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita.Leo
Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John
Pombe Joseph Magufuli aliyeshika kikapu cha sadaka akipokea sadaka kutoka kwa waumini mbali mbali waliohudhuria ibada katika kanisa
la Katoliki la
Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita Leo.
Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa ameshika kikapu chenye michango ya fedha zilizotolewa na waumini wa kanisa Katoliki
la
Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita kwa ajili ya ujenzi na upanuzi wa kanisa hilo.Leo
Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John
Pombe Joseph Magufuli akimshukuru mmoja wa waumini wa kanisa hilo ndugu Mwita Chacha mara baada ya kuchangia mifuko mitano ya saruji kwa ajili ya ujenzi na upanuzi wa kanisa Katoliki
la Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita
Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John
Pombe Joseph Magufuli akiondoka kwenye kanisa Katoliki la Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita,
mara baada ya ibada.
No comments:
Post a Comment