Habari za Punde

Rais wa Tanzania Dkt.John Magufuli Akiwa na Mkewe Mama Janeth Magufuli Washiriki Ibada ya Jumapili Katika Parokia Bikira Maria Chato Mkoani Geita na Kuendesha Harambee ya Kuchangia Ujenzi wa Kanisa Hilo.

Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli pamoja na mke wake Mama Janeth Magufuli wakitoa sadaka wakati wa ibada ya jumapili katika kanisa la Katolikila  Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita.Leo 16 julai 2017
Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli wakisikiliza mahubiri kutoka kwa Padri  Henry Mulinganisa wakati wa ibada ya jumapili katika kanisa la Katoliki la  Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita.Leo
Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisisitiza jambo wakati wa ibada ya jumapili katika kanisa la Katoliki la  Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita
Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisisitiza jambo wakati wa ibada ya jumapili katika kanisa la Katoliki la  Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita
Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli aliyeshika kikapu cha sadaka akipokea sadaka kutoka kwa Mke wake Bi Janeth Magufuli wakati wa kuchangia ujenzi na upanuzi wa katika kanisa la Katoliki la  Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita.Leo
Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli aliyeshika kikapu cha sadaka akipokea sadaka kutoka kwa waumini mbali mbali waliohudhuria ibada katika kanisa la Katoliki la  Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita Leo.
Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa ameshika kikapu chenye michango ya fedha zilizotolewa na waumini wa kanisa Katoliki la  Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita kwa ajili ya ujenzi na upanuzi wa kanisa hilo.Leo
Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akimshukuru mmoja wa waumini wa kanisa hilo ndugu Mwita Chacha mara baada ya kuchangia mifuko mitano ya saruji kwa ajili ya ujenzi na upanuzi wa kanisa Katoliki la  Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita 


Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiondoka kwenye kanisa Katoliki la  Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita, mara baada ya ibada.





No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.