Habari za Punde

Kilimo Cha Matango Kilivyoshamiri Kisiwani Pemba.

Mwenyekiti wa  Jumuia ya Tumaini iliopo Vitingoji wilaya ya Chakecheke kisiwani Pemba, Mohamed Abdllah Khamis ‘song” akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbali mbali, waliofika kwenye ushirika huo, kuangalia maendeleo na changamoto zinawazokabili
Mwenyekiti  wa Jumuia ya Tumaini, iliopo Vitongoji wilaya ya Chakechake kisiwani Pemba, Mohamed Abdalla Khamis ‘song’ akiwa na vitango vyao ambavyo kwa sasa wamedai kukosa wateja na huwenda wakala hasara kubwa, iwapo vitango vyao zaidi ya 700 havikununuliwa


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.