Wapenzi wa Timu ya Simba Zanzibar Tawi la Amaan Zanzibar wakiwa katika tawi lao Amaan wakifuatilia mchezo wa kirafi kusherehekea Simba Day na Tumu kutoka Nchini Rwanda mchezo uliofanyika katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam ikicheza na Timu ya Rayon Sports katika mchezo huo timu ya Simba imeibuka na ushindi wa bao 1--0.
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia
wananchi wa majimbo ya Ilala, Segerea, Kivule na Ukonga katika uwanja wa
Kecha Kinyerezi Jijini Dar es Salaam
-
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza ...
18 hours ago
No comments:
Post a Comment