Wapenzi wa Timu ya Simba Zanzibar Tawi la Amaan Zanzibar wakiwa katika tawi lao Amaan wakifuatilia mchezo wa kirafi kusherehekea Simba Day na Tumu kutoka Nchini Rwanda mchezo uliofanyika katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam ikicheza na Timu ya Rayon Sports katika mchezo huo timu ya Simba imeibuka na ushindi wa bao 1--0.
MISAADA MBALIMBALI YAWAFIKIA WANAWAKE WALIOJIFUNGUA NA WATOTO KATIKA KAMBI
ZA WAHANGA WA MAFURIKO RUFIJI
-
Na Mwamvua Mwinyi,Rufiji April 23
Patrick Golwike (Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jamii wa Wizara ya Maendeleo ya
Jamii, Jinsia, Wanawake na Wenye Mahitaji Ma...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment