Wapenzi wa Timu ya Simba Zanzibar Tawi la Amaan Zanzibar wakiwa katika tawi lao Amaan wakifuatilia mchezo wa kirafi kusherehekea Simba Day na Tumu kutoka Nchini Rwanda mchezo uliofanyika katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam ikicheza na Timu ya Rayon Sports katika mchezo huo timu ya Simba imeibuka na ushindi wa bao 1--0.
WAHITIMU MAFUNZO YA MFUMO STAKABADHI GHALA WATAKIWA KUONGEZA UWAZI NA UBORA
KATIKA UTENDAJI KAZI WAO
-
Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma ya Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Usimamizi
wa Stakabadhi za Ghala,Godwin Mkanwa,akikabidhi Cheti Mhitimu wa mafunzo ya
...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment