Habari za Punde

Waziri Haroun Ashiriki Zoezi la Uchumaji Karafuu Kisiwani Pemba.


Waziri wa waNchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria , Utumishi wa Umma na Utawala Bora  Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman akiawa na Pakacha ilioandaliwa kwa ajili ya uchumaji wa karafuu huko mgagadu kabla Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Ali Mohammed Shein, kufanya uzinduzi wa Zoezi la Uchumaji wa
Karafuu huko mgagadu Wilaya ya Mkoani Kisiwani Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.